Tumekusudia kupeleka mapato ya ndani kwenye miradi ya Shule na afya.Dr Maria kapinga

 

Halmashauri ya ilemela imeweka wazi sekta ya elimu na afya ndizo sekta zitapewa kipaumbele katika matumizi ya mapato yaliyokusanywa katika kipindi cha  mwezi julai  hadi desemba 2025

Ambazo ni kiasi cha Billioni 7 sawa na asilimia 42.9 ya malengo ya mapato yanayotakiwa kukusanywa kwa mwaka Bilioni 16.4



Akitoa Ufafanuzi wa taarifa aliyoiwakilisha katika baraza la Madiwani wilaya ya ilemelaleo Januari 29  Kaimu Mkurugenzi wa halmashauri ya ilemela Dk.Maria Kapinga anatataja sababu za vipaumbele hivyo

BOFYA HAPA CHINI KUSIKILIZA





Post a Comment (0)
Previous Post Next Post