Kikao hicho kimefanyika leo tarehe 29 Januari 2026 katika Ukumbi wa Kituo cha Urithi wa Ukombozi wa Bara la Afrika, jijini Dar es salaam.
Kongamano hili linabeba umuhimu mkubwa katika kuimarisha hadhi ya Kiswahili kama lugha ya utamaduni, maarifa na mshikamano wa kimataifa.
Majadiliano katika kikao hicho yamelenga kukutanisha na kuunganisha wadau kutoka Wizara, Taasisi mbalimbali na washiriki wa kimataifa. Ushirikiano huu unaendelea kuwa msingi wa mafanikio kuelekea kongamano hili.
Kongamano hili linabeba umuhimu mkubwa katika kuimarisha hadhi ya Kiswahili kama lugha ya utamaduni, maarifa na mshikamano wa kimataifa.
Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo pamoja na
BAKITA zinaendelea kuwa nguzo muhimu katika kulinda, kukuza na kuendeleza
Kiswahili kitaifa na kimataifa.
(Katika picha namba moja Naibu Katibu Mkuu ni wakulia aliyevaa miwani)
.heic)

.heic)
.heic)
.heic)
.heic)
.heic)
.heic)
.heic)
.heic)