Mwimbaji wa Nyimbo za Injili kutokea Jijini Dodoma Tanzania Putteny Anthony anaye Vuma na Vibao vyake vikali kama vile,Futa,Napendwa,Unitetee nazingizo nyingi hata ukipata nafasi ya kutembelea kwenye Channeli yake ya Youtube Utaona kazi nzuri anayofanya katika kumtumikia Mungu kwa njia ya Uimbaji
Sasa ametangaza kuja Ujio wa Albamu ya nyimbo 12 ambazozitakua katika Mfumo wa Flash,Amezungumza nami kwa Njia mtandao wa Whatsapp ameelezea haya yafuatayo
'Shalom Mpendwa🙏Mwenyezi Mungu amenipa kibali kukamilisha ALBUM yangu ya kwanza katika huduma ya uimbaji itakayo jumuisha nyimbo(12)za audio inayotarajiwa kutoka mnamo 26/03/2024 kwenye mfumo wa FLASH. Naomba support yako katika kumtangaza Kristo Yesu kwa kuchangia kununua @TShs.20, 000/= kama sadaka yako katika kutangaza NENO LA MUNGU. BWANA AKUBARIKI SANA. #PUTTENYGOSPELMUSIC'
Karibu Kumfatilia katika Mitandao yake ya Kijamii kwa Mjina yake
By Kascal kadushi

